• Song:

    Nitafanya

  • Artist:

    Kidum Feat Lady Jaydee

sponsored links
Standard Tuning

Intro
Abm , Abm , B , F# x3
E

Verse 1 (Kidum )
C#m                Abm     B  F#
   Ikiwa umeamua kunitoroka
C#m                        Abm          B   F#
   Ikiwa unahisi kwamba hujiskii nami tena
C#m                         Abm     B  F#
   Na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
C#m                     Abm           B   F#
   Naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
C#m                    Abm            B    F#
   Kupendwa, usipendwe ni kama kujitia kitanzi
C#m                          Abm            B    F#
   Nitachimba na sururu kwa ardhi, nikitafuta penzi lako

Pre-Chorus (Kidum )
F#                 E
   Ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
F#                    E
   Sababu nitajikuna, ama nitajikanda na maji moto
C#m                  B
   Maumivu ya penzi, mtu hajikuni
            F#
   Wala hajikandi na maji 
       E
   Na hakuna upasuaji (yoii yoo)


Chorus 
Abm       B       F#              E 
Kama kuna kosa,  nimewahi fanya (nieleze)
Abm       B                F#          E 
Kama kuna jinsi,  tunaweza leta (mpaka niishi)
   Abm       B                 F#       E 
Na kama kuna kitendo, linaweza tendwa (nieleze)
 Abm       B      F#         E 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
 Abm       B      F#         E 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
 Abm                B        F#       E 
Nitafanya (nasema), fanya, Nitatenda, tenda
 Abm       B       F#        E 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda (woohh)

Verse 2 (Lady Jaydee)
C#m                  Abm      B  F#
   Kweli hukumbuki ulioyafanya
C#m                     Abm      B  F#
   Ni kweli unakumbuka tulikotoka
C#m                        Abm   B  F#
   Sisemi habari zozote za kusikia  
C#m                    Abm     B  F#
   Bali kwa ushahidi, niliouona
C#m                     Abm       B    F#      
   Msamaha mara ngapi? umeshaomba na bado
C#m                       Abm       B     F#
   Je, ni makosa mangapi? niliyoyafumbia macho

Pre-Chorus (Lady Jaydee)
F#                  E
   Mpaka leo nahisi kufika kikomo
F#                  E
   Maumivu yanazidi ndani ya moyo
C#m                           B
   Sitaki kwenda mbali kwani upo moyoni
      F#                 E
   Nikusamehe mimi mara ngapi wewe?
        
   Nieleze mpenzi mara ngapi?

Chorus 
Abm          B           F#        E
Unataka, nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
Abm          B            F#                E
Unapenda nikuvumilie mara ngapi? (hii ni ya mwisho)
    Abm      B           F#       E
Je, wewe nikulilie mara ngapi? (vumilia)
    Abm      B            F#          E
Sitoweza (utaweza wee), Nimechoka (usichoke)
    Abm         B           F#          E
Nimeshindwa (usishindwe), Naondoka (usiondoke mamii)
   Abm       B         F#         E
Sitoweza (sitoweza), Nimechoka (usichoke)
   Abm        B           F#       E
Nimeshindwa (usindindwe), Naondoka leo

Bridge (Kidum )
C#m                  B        F#
   Ukihesabu ni mara ngapi umenisamehe
C#m                         B           F#       C#m
   Ni kama kuhesabu ni mara ngapi mtoto kaharibu nepi
            B     F#     E
   Usichoke, usiondoke, usilie, niko hapa kukulinda

Chorus 
Abm        B              F#       E
Kama kuna kosa,  nimewahi fanya (nieleze)
Abm        B                F#         E
Kama kuna jinsi,  tunaweza leta (mpaka niishi)
   Abm         B               F#        E
Na kama kuna kitendo, linaweza tendwa (nieleze)
  Abm       B        F#       E
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
  Abm            B        F#        E
Nitado do do do, fanya, Nitafanya, tenda
  Abm        B       F#        E
Nitafanya , fanya, Nitatenda, tenda
  Abm            B       F#        E
Nitado i swear, fanya, Nitafanya, tenda (woohh)

  Abm         B           F#        E
Unataka, nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
  Abm         B           F#              E
Unapenda nikuvumilie mara ngapi? (mara ya mwisho)
     Abm      B          F#        E
Je, wewe nikulilie mara ngapi? (usilie)
  Abm       B          F#          E
Sitoweza (unaweza), Nimechoka (usichoke)
   Abm         B            F#        E
Nimeshindwa (usishindwe), Naondoka (uhh uhh)
  Abm      B       F#      E
Sitoweza (weza), Nimechoka 
   Abm     B    F#      E    
Nimeshindwa, Naondoka leo

Outro ( Abm , B , F# , E )
Usishindwe baby
Nitado do do do do
Show more
sponsored links
sponsored links