• Song:

    Nitafanya

  • Artist:

    Kidum Feat Lady Jaydee

sponsored links
Standard Tuning

Intro
Ab5 , Ab5 , B5 , F#5 x3
E5

Verse 1 (Kidum )
C#5                Ab5     B5  F#5
   Ikiwa umeamua kunitoroka
C#5                        Ab5          B5   F#5
   Ikiwa unahisi kwamba hujiskii nami tena
C#5                         Ab5     B5  F#5
   Na mbona imekuwa ngumu kunidokeza
C#5                     Ab5           B5   F#5
   Naona ni bora nilie leo, badala ya kesho
C#5                    Ab5            B5    F#5
   Kupendwa, usipendwe ni kama kujitia kitanzi
C#5                          Ab5            B5    F#5
   Nitachimba na sururu kwa ardhi, nikitafuta penzi lako

Pre-Chorus (Kidum )
F#5                 E5
   Ni heri nipigwe fimbo kwa mwili
F#5                    E5
   Sababu nitajikuna, ama nitajikanda na maji moto
C#5                  B5
   Maumivu ya penzi, mtu hajikuni
            F#5
   Wala hajikandi na maji 
       E5
   Na hakuna upasuaji (yoii yoo)


Chorus 
Ab5       B5       F#5              E5 
Kama kuna kosa,  nimewahi fanya (nieleze)
Ab5       B5                F#5          E5 
Kama kuna jinsi,  tunaweza leta (mpaka niishi)
   Ab5       B5                 F#5       E5 
Na kama kuna kitendo, linaweza tendwa (nieleze)
 Ab5       B5      F#5         E5 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
 Ab5       B5      F#5         E5 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
 Ab5                B5        F#5       E5 
Nitafanya (nasema), fanya, Nitatenda, tenda
 Ab5       B5       F#5        E5 
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda (woohh)

Verse 2 (Lady Jaydee)
C#5                  Ab5      B5  F#5
   Kweli hukumbuki ulioyafanya
C#5                     Ab5      B5  F#5
   Ni kweli unakumbuka tulikotoka
C#5                        Ab5   B5  F#5
   Sisemi habari zozote za kusikia  
C#5                    Ab5     B5  F#5
   Bali kwa ushahidi, niliouona
C#5                     Ab5       B5    F#5      
   Msamaha mara ngapi? umeshaomba na bado
C#5                       Ab5       B5     F#5
   Je, ni makosa mangapi? niliyoyafumbia macho

Pre-Chorus (Lady Jaydee)
F#5                  E5
   Mpaka leo nahisi kufika kikomo
F#5                  E5
   Maumivu yanazidi ndani ya moyo
C#5                           B5
   Sitaki kwenda mbali kwani upo moyoni
      F#5                 E5
   Nikusamehe mimi mara ngapi wewe?
        
   Nieleze mpenzi mara ngapi?

Chorus 
Ab5          B5           F#5        E5
Unataka, nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
Ab5          B5            F#5                E5
Unapenda nikuvumilie mara ngapi? (hii ni ya mwisho)
    Ab5      B5           F#5       E5
Je, wewe nikulilie mara ngapi? (vumilia)
    Ab5      B5            F#5          E5
Sitoweza (utaweza wee), Nimechoka (usichoke)
    Ab5         B5           F#5          E5
Nimeshindwa (usishindwe), Naondoka (usiondoke mamii)
   Ab5       B5         F#5         E5
Sitoweza (sitoweza), Nimechoka (usichoke)
   Ab5        B5           F#5       E5
Nimeshindwa (usindindwe), Naondoka leo

Bridge (Kidum )
C#5                  B5        F#5
   Ukihesabu ni mara ngapi umenisamehe
C#5                         B5           F#5       C#5
   Ni kama kuhesabu ni mara ngapi mtoto kaharibu nepi
            B5     F#5     E5
   Usichoke, usiondoke, usilie, niko hapa kukulinda

Chorus 
Ab5        B5              F#5       E5
Kama kuna kosa,  nimewahi fanya (nieleze)
Ab5        B5                F#5         E5
Kama kuna jinsi,  tunaweza leta (mpaka niishi)
   Ab5         B5               F#5        E5
Na kama kuna kitendo, linaweza tendwa (nieleze)
  Ab5       B5        F#5       E5
Nitafanya, fanya, Nitatenda, tenda
  Ab5            B5        F#5        E5
Nitado do do do, fanya, Nitafanya, tenda
  Ab5        B5       F#5        E5
Nitafanya , fanya, Nitatenda, tenda
  Ab5            B5       F#5        E5
Nitado i swear, fanya, Nitafanya, tenda (woohh)

  Ab5         B5           F#5        E5
Unataka, nikusamehe mara ngapi? (usihesabu)
  Ab5         B5           F#5              E5
Unapenda nikuvumilie mara ngapi? (mara ya mwisho)
     Ab5      B5          F#5        E5
Je, wewe nikulilie mara ngapi? (usilie)
  Ab5       B5          F#5          E5
Sitoweza (unaweza), Nimechoka (usichoke)
   Ab5         B5            F#5        E5
Nimeshindwa (usishindwe), Naondoka (uhh uhh)
  Ab5      B5       F#5      E5
Sitoweza (weza), Nimechoka 
   Ab5     B5    F#5      E5    
Nimeshindwa, Naondoka leo

Outro ( Ab5 , B5 , F#5 , E5 )
Usishindwe baby
Nitado do do do do
Show more
sponsored links
sponsored links